Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi kwa msako huu Yanga wataona wanaweza kule Sudane. Pumbavuuu
Mi nilijua Moja tu ujueNilijua tutashinda ila sio kwa ushindi huu. Niwe mkweli tu
Mwenzio nilikuwa naitafuta draw kwa nguvu zote...Nilijua tutashinda ila sio kwa ushindi huu. Niwe mkweli tu
Kesho siendi jobHongera Wana Lunyasi....
Weekend imekuwa njema sana...
Tunamuomba Mama Samia kesho atangaze kesho ni mapumziko kwa WanaSimba...
Figisu na uchawi wa kibongoKinachonishangaza Simba ya Kimataifa inacheza mpira wa tofauti sana kuliko wanavyocheza hapa kwenye Ligi yetu.
Tumenyimwa penati ya wazi kabisa ukijumlisha na FT
Boss naye SIMBAKesho siendi kazini, najua Bosi hataniambia kitu, hana ubavu huo
Kesho siendi kazini, najua Bosi hataniambia kitu, hana ubavu huo
Bora tukazanie kwa mwendo huu huu saaaaffiFigisu na uchawi wa kibongo
Kinachonishangaza Simba ya Kimataifa inacheza mpira wa tofauti sana kuliko wanavyocheza hapa kwenye Ligi yetu.
Mi sijui shauli zakeBoss naye SIMBA
Hapna kwa kweli nilitarajia walau upigwe 2 kwa1 ili mpate akili lkn kinyume yake wameumia agusto ,wajinga Sana wanna jeshi waleKwa nn uteseke njooo simba utanenepa bila hata kula yaani full marahaaaa[emoji851]