Mwakarobo fcanasahau kufika robo kila mwaka ndo mafanikio
Yeah muda wote anadhani wanaangalia ligi kuu au NGao Ya jamiianasahau kufika robo kila mwaka ndo mafanikio
Wakati Yanga anaingia makundi mara ya kwanza wewe ulikuwa wapi usiingie?Ukapigwa 6-0 na Raja Casablanca ukatulia miaka 25 umri wa Mzinze na chenji juu
Simba mmepaki basi ili iweje? Unazuwia tu halafu utasongaje mbele??Yanga ina mafanikio gani?
Kijana wa Mwakalebela unafeli wapi?
Kils mwaka nafika robo fanali kwenye Club bingwA AMBHaya huko Kimataifa una mafanikio gani?