Umemuona El Shahat? Nani tutamkabidhi kazi ya kumlinda? Yao?Kwa sasa tucheke tu mkuu yajayo yatajijua [emoji23]
Kocha ni mzuri, na kwasasa amebadilika kwenye swala la subs.Zama za kubabuana 5 zimepita.
Hongera Mnyama. Kocha abaki mataputapu yaondoke.
Simba na yanga zote kwa pamoja hazina uwezo wa kumtoa alhaly linapokuja swala la knout stage na ikitokea ni mpira lakini sio quality na ubora wa team. Wametuzidi mbalii lazima tuamue kukuza wachezaji au kuwa na ela ya kuporana wachezaji na awa giantNyie si mlisema mtaushangaza ulimwengu
Naona hujui kusoma mkuuKwisha mshatolewa au mnataka mtembezewe na mabanzi
Unaenda kiumeni kufa. Ili wakuwahi wamotowamoto sio?Simba hakufungwa goli tano bila, wala saba bila,wamelingana magoli ila katolewa kwa kanuni.
[emoji81][emoji81][emoji81]kwa mpira gani mlio cheza .mafundi bus yutongVilaza fc....si mlisema tutafungwa nyingiiii mmebadili gia angani????
Yani so far so good we show the world who Simba isssss.....
Hakuna mbabe wakati makolo wametolewa? Unaongelea ubabe upi tena?Uchungu mnao nyie mlotegemea tutafungwa so far hakuna mbabe..kanuni zimembeba ....
Usikoti tafadhali niache nijitanue huu ukumbi ni mkubwa...koment zangu ziachwe...Yani mtolewe nyinyi, ila tuwe nalo sisi? Unaumwa?
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Simba is the team which is not going anywhere, subiri Yanga akuonyeshe jinsi ya kumfunga Al Ahly nyumbani kwao sio mnakalia draw draw tu mnatoka kizembeVilaza fc....si mlisema tutafungwa nyingiiii mmebadili gia angani????
Yani so far so good we show the world who Simba isssss.....
Halafu nani kaenda nusu fainali?Yani Alhy wana ma shoot 20 ila mbili ndo on target lol..kweli mlibanwa mbupu
Mmekufa kiume [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Oooh watakula nne oooh 5 oohh perepete pereteee...
Mpka sasa Simba ndo baba lao....
Tumetoana jasho
Siwadai Simba yangu...
Simba nguvu moyaaaaaaaaa
Hana ubongo wa kusanukia mtego wa Muhindi huyo.[emoji1]Kitambo nilishakuambia kuwa muhindi ni mfanyabiashara hawezi kuwa mzembe kama unavyofikiri.
Ile ilikuwa Chambo na sijui kama ulisanuka
Tuoneshe Mkeka wako
Target mtoke iwe kwa kufungwa au kwa vyovyote na mmetoka 😆Usikoti tafadhali niache nijitanue huu ukumbi ni mkubwa...koment zangu ziachwe...
Nyie ndo mnaumia hilo halina ubishi..target yenu ilikua tufungwee...nyie ndo wagonjwa..
umeumia sana eeh yani wewe na akili yako mbovu ulitarajia al ahly amfunge simba leo? Pole sana na simba hii bado haijachanganya ikikolea tutapiga kila timu afrika hiiGoli lenyewe tumelipata kimuujiza.... Papatu mara ndani....
Onana awe mwanamitindo...
Mmetolewa bana!NANI ANABISHA KUWA SIMBA NDO BABA LAO UKANDA HUUU????
Wewe bwan ee tafuta wengine mimi sina muda wa kujibishana...na watu wenye hasira kama Utopwoxx malengo yenu hayajatimiaHakuna mbabe wakati makolo wametolewa? Unaongelea ubabe upi tena?
Hueleweki umeandika nini.Unaenda kiumeni kufa. Ili wakuwahi wamotowamoto sio?