FT: Al Ahly 1-1 Simba SC (Agg, 3-3)| Africa Football League| Simba yaondolewa kwa Goli la Ugenini

Nyie si mlisema mtaushangaza ulimwengu
Simba na yanga zote kwa pamoja hazina uwezo wa kumtoa alhaly linapokuja swala la knout stage na ikitokea ni mpira lakini sio quality na ubora wa team. Wametuzidi mbalii lazima tuamue kukuza wachezaji au kuwa na ela ya kuporana wachezaji na awa giant
 
Vilaza fc....si mlisema tutafungwa nyingiiii mmebadili gia angani????
Yani so far so good we show the world who Simba isssss.....
[emoji81][emoji81][emoji81]kwa mpira gani mlio cheza .mafundi bus yutong
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…