Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mimi nimeshangaa, labda aliyekata umeme 😆Aliyepo sahihi nani ?
Mtakutana nao tu na ndiyo utakuwa mwisho wa hizi tambo zenu za kishambaHii Al Ahly ikikutana na Yanga inaweza chapwa hata 3.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na mimi nimeshangaa, labda aliyekata umeme [emoji38]
ipi sasa, Yanga au Ahly inachapwa 3? Usije ona inapata taabubkwa Simba ukadhan utopoloni nako itapata taabuHii Al Ahly ikikutana na Yanga inaweza chapwa hata 3.
Nani kakudanganya?Kanuni za AFL hazina magoli ya ugenini
Amini kwambaChama amekuwa kiwanda cha kupoteza mipiri
Hizi kosakosa ndio udhaifu wa al ahliSimba wanakoswakoswa saaaana leo.