David Harvey
JF-Expert Member
- Jul 17, 2014
- 2,894
- 6,020
Kama benchi la ufundi tumekubaliana hakuna kumtoa John bocco
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shot on target ni ngapi? [emoji23]Simba wanakoswakoswa saaaana leo.
Hawa waliocheza na Ihefu au kuna maingizo dirisha dogo?kama ndo matatizo yao watajuta mbele ya mwanachi
Mzee unacheki game saivi?? Kuna agg chini pale imewekwa 2-2, sasa wanaweka agg ya nini kama away goal halihesabiwi kma zamani?.Umeziona kanuni za AFL 2023 ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vibonde wamekutana
[emoji173][emoji173][emoji173][emoji173]Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki simba sport club. #Simbanguvumoja[emoji123]
Hata ukifungwa 3-0 na 4-0 nyumbani na ugenini, bado aggregate ingewekwa isomeke 7-0Mzee unacheki game saivi?? Kuna agg chini pale imewekwa 2-2, sasa wanaweka agg ya nini kama away goal halihesabiwi kma zamani?.
Umemskia msemaji wenu leo ?amesema nini?fuatiliaHata ukifungwa 3-0 na 4-0 nyumbani na ugenini, bado aggregate ingewekwa isomeke 7-0
hao walio wapiga wababe wenu azam janaHawa waliocheza na Ihefu au kuna maingizo dirisha dogo?