FT: Al Ahly 1-1 Simba SC (Agg, 3-3)| Africa Football League| Simba yaondolewa kwa Goli la Ugenini

FT: Al Ahly 1-1 Simba SC (Agg, 3-3)| Africa Football League| Simba yaondolewa kwa Goli la Ugenini

Simba haichezi vizuri

Simba sio timu bora na ndio maana makundi imepita kwa kanuni tu.

Nataka niendelee kuzisikia hizi kelele zikiamia kwa Al Ahly
Daah mnajua kuloga nyie jamaa kwa mpira waliocheza wamisri Leo mlitakiwa mpigwe sio chini ya goli 3
 
Hii mechi tungekua na quality player wawili tu kwenye nafasi alioanza Boko na kibu tungezungumza mengine leo. Simba tukafanye usajili wa maana tuache siasa.
 
Back
Top Bottom