Hajaruhusu bao kwasababu ya wwanajeshi wake ni waoga.ajaruhusu bao michezo miwili kipa wako kaokota 2 hadi sasa
Kabisa mkuu. Waache waendelee na song lao la tumetoka kiumeIla bora wametoka tu. Sasa hv wangekuwa wamejaa humu. Hali ingekuwa mbaya mno.
😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣 Mi nawaza kesho sura yangu nitaiweka wapi?? Sema ntajifichia kwenye mwamvuli wa simba
🤣🤣🤣🤣 yani nawaonea huruma wale waliofika jana na fusso SA, kurudi ndio mtihani na maumivu ya kufungwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu em huko bhana.
Mzize ni usajili wa laki 5kuna goli kakosa mzize daaah basi siku ya kufa nyani
sema mmekandwa huko naona raha sana
Kwahiyo umetoka ama haujatoka?tumetolewa kwa utashi wa refa sio uwezo wa mpinzani
wewe umetolewa kwa uwezo wa mpinzani kakukanda nje ndani
yanga hawezi ruhusu iyo fedheha
🤣🤣🤣🤣 pombe na kinge mapacha, hiyo lugha maarufu ya walevi na wenye maumivu ya kufungwa😂😂😂
the good thing is ...
Kheeeh' nimelewa nini mbona naanza kuandika kingereza..!!
Hii imeisha mkuu, Al hly wametuzidi akili.Uchochoro umetolewa afadhali wanasimba tupumue
thithi yanga tumeonewa😁falsafa ya nyoooooo.....!!
😂😂thithi yanga tumeonewa😁