FT: Al Ahly 2-0 Simba | CAF CL Sec: Leg | Cairo International Stadium | 05/04/2024 (Agg 3-0)

FT: Al Ahly 2-0 Simba | CAF CL Sec: Leg | Cairo International Stadium | 05/04/2024 (Agg 3-0)

ajaruhusu bao michezo miwili kipa wako kaokota 2 hadi sasa
Hajaruhusu bao kwasababu ya wwanajeshi wake ni waoga.

Wachezaji wake wote wapo eneo lake yani ni sawa na kusema kwamba golini hakuwa peke yake.

Mlikuwa na makipa wengi golini ila mmoja tu ndio aliyevalia gloves
 
🤣🤣🤣🤣🤣 Mi nawaza kesho sura yangu nitaiweka wapi?? Sema ntajifichia kwenye mwamvuli wa simba
😂😂😂
the good thing is ...
Kheeeh' nimelewa nini mbona naanza kuandika kingereza..!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu em huko bhana.
🤣🤣🤣🤣 yani nawaonea huruma wale waliofika jana na fusso SA, kurudi ndio mtihani na maumivu ya kufungwa
 
kuna goli kakosa mzize daaah basi siku ya kufa nyani

sema mmekandwa huko naona raha sana
Mzize ni usajili wa laki 5

Kweli unaona ni sahihi kumfunga William mwenye thamani ya mabilioni?
 
tumetolewa kwa utashi wa refa sio uwezo wa mpinzani

wewe umetolewa kwa uwezo wa mpinzani kakukanda nje ndani

yanga hawezi ruhusu iyo fedheha
Kwahiyo umetoka ama haujatoka?

Mara ya mwisho umemfunga lini Ahly?
 
😂😂😂
the good thing is ...
Kheeeh' nimelewa nini mbona naanza kuandika kingereza..!!
🤣🤣🤣🤣 pombe na kinge mapacha, hiyo lugha maarufu ya walevi na wenye maumivu ya kufungwa
 
GKO35PGWMAA87gk.jpeg
 
Bado tuna nafasi ya kuliteka soka la afrika, na yanga naona kabisa wanayo hiyo nafasi, ila kwa sisi simba bado sana aisee
Naamini kama yanga angekuwa anacheza na hawa waarabu lazima mwarabu angekufa
 
MAKOLO YANAPELEKEWA PUMZI YA MOTO [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Back
Top Bottom