OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Kuruhus goli la ugenini ilikuwa big mistake. Shenzi kabisa Inonga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kupata vichekesho kama hivi bonyeza *5-1#Moderator kwann hii Uto kila siku ndyo inaanzisha nyuzi za Simba na yanga tu muangalieni huyu jamaa
Mechi za simba hatutaki afungue nyuzi zetu ana gundu komaa
Simba 2
Al AHLY 1
MAMELOD 3
KABWILI 0
Kihasibu imetucost sana wanasimbaKuruhus goli la ugenini ilikuwa big mistake. Shenzi kabisa Inonga
Tumekuwa tukitolewa huku tumeshinda au kudroo nyumbani. Huwa tunaenda tukiwa na mawazo ya kujilinda. Hii ni mara ya kwanza kukutana na Al hly tukiwaza kupata magoli na kushinda.Kuruhus goli la ugenini ilikuwa big mistake. Shenzi kabisa Inonga
Kibu hana uwezo wa kucheza klabu bingwa ni ujinga tu wa benchi la ufundiLeo kibu yupo benchika?😁😁😁
Ahahahahahaaaa..!!! Mayeleeee..!!Huu uzi umepoa kuliko hata maji ya mtungi! Mashabiki wa simba tupeane moyo bhana! Ndiyo kusema tumekata tamaa kiasi hiki!!
Penyewe jana Mayele alienda kuongeza hamasa kwenye kambi ya timu yetu!! Simba nguvu moja, tunapindua leo meza kibabe!
Huu muda simba akicheza na Mwarabu huwa anapigwa goli kuanzia 5 (Khamsa)!Match Day.
Al Ahly Vs Simba
⏱️ Time 23:00hours (EAT)
🏆 CAF Champion League 2nd leg
🏟️Cairo International Stadium
eka sana Mbe'
Nasikia ameahidi eti wakishinda atatoa milioni 500! Yaani wakishinda!! Hivi sijui umeelewa?Gabachori ananunua kila Goli kwa bei gani? Km hajatoa bonus ya bei ya magoli basi Simba hawana chao
Sijakuelewa kaka au kiarabu hichi kaka😂😁😁eka sana Mbe'
Dah! Mbona mapema sana ndugu Mwasibu! Mpaka mpira ukiwa dakika ya 90+ amani itatawala kweli kwenye huu uzi!!Kuruhus goli la ugenini ilikuwa big mistake. Shenzi kabisa Inonga