FT: Al Ahly 2-0 Simba | CAF CL Sec: Leg | Cairo International Stadium | 05/04/2024 (Agg 3-0)

FT: Al Ahly 2-0 Simba | CAF CL Sec: Leg | Cairo International Stadium | 05/04/2024 (Agg 3-0)

Simba ashinde leo na Yanga ashinde kesho, mafanikio yao ni yetu sote kama taifa, tuziombee zishinde.
 
Wale wenzangu wa mikeka simba apate goli 1 ina 2.00 ni nzuri kwa pesa ya chai kesho asbh
 
Pamoja na mimi kuchukia ujinga na utoto wa Ahmed Ally (msemaji ya Simba anayedhani kuwa kuisemea Simba maana yake ni kuikandia Yanga), ninaona kuwa Simba ina nafasi kubwa sana ya kuiondoa Al-Ahly kwenye mshindano ya Leo na hivyo kujipatia tiketi ya kwenda nusu fainali kwa mara ya kwanza. Wataindoa kwa mikwaju ya Penalty. Mmoja kati ya Ntibazokiza na Chama atakosa penalty yake kwa kugonga mwamba Halafu Pecy Tau atapoteza penalty yake kwa kupiga juu ya lango, halafu Ayub anazuia penalty moja na hivyo mikwaju ya penalty kuisha kwa 4-3 faida kwa Simba.

Timu zitalazimika kupiga penalty kwa kumaliza huku simba ikiwa na goli 1-0 ambapo aggregate itakuwa 1-1
 
Nyie bana
Screenshot_20240405-201455.png
 
Huu uzi hautembei kabisa, mwendo lukumba lukumba.
 
Back
Top Bottom