Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Second half tukapate goli 1 twende matuta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] udugu em muache refa, ni baba wa watu ujue?Marefa wa leo kazi ipo, ila yule aliyetufanyia figisu nimetamani angechezesha kombe la mbuzi, mwisho wa mchezo angepigwa ndoa ya mkeka na wahuni [emoji23][emoji23][emoji23]
Mnayama akikomaa atatoa PoaAhl hawana hata moja wakati mnyama ana 2
waarabu sio wanyaturu mnaocheza nao kwenuSecond half tukapate goli 1 twende matuta
Aliye msqjili huyu atuletee na wengineHuyu Ayoub Lakred ni kipa mzuri sana, Manula ndio kapoteza namba hivyo.
Moja kati ya eneo ambalo Simba Sc ana utajiri wa vipaji ni eneo la golini, kuanzia kipa wa kwanza hadi wa nne hakuna kiazi.
Wa msimbazi 🤣🤣🤣🤣Uduguu em umelewaa wee? [emoji23][emoji23][emoji23]
Simba wa Dar Zoo au?
Tatizo akili na utulivu hana. Sasa minguvu ya nn c buree tyuuhHizi skills Kibu Denis kazitoa wapi? Miaka miwili mbele kama ataendelea kuaminiwa, atakuwa player mmoja hatari sana.
Kula chuma hikowaarabu sio wanyaturu mnaocheza nao kwenu
Kamnyang'anye aisee....inasemekana yuko kwenye chupa ya tano...😅😅😅😅😅Uduguu em umelewaa wee? [emoji23][emoji23][emoji23]
Simba wa Dar Zoo au?
Tumenyimwa goli thahiriKula chuma hikoView attachment 2955019
Yule basi tyuuuu!! 🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] udugu em muache refa, ni baba wa watu ujue?