ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Mnafungwa kwebege bwege tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na anawanyoosha kweri kweri 😂😂😂😂Aahaaa
Si walikuwa wanajifisia kuwa Al Ahyl ni mkubwa mwenzao
Acha wanyooshwe
Amebanduliwa nje ndaniTatizo unatokaje
Anayekufa kwa rungu na anayekufa kwa bunduki ni yupi ambaye amekufa sana?Tatizo unatokaje
Sasa unabisha kuanzia dk 80 au sio Uncle bright .amka wew utajikojolea
😂😂😂😂 nachekaa mpk sio poa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan full heka heka.
Kufunguka ni sahihi. Tubaki nyuma tunalinda nini? Labda yakishaingia goli tatu ndo urudi nyuma kuzuia aibu ya goli nyingi.Mnajidai mnafunguka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kesho unayoizungumzia ni ipi mkuu.Oyaaa makolo, njooni tulewe tukalale tu kesho nayo ni siku wenetu..!!😂😂
Acha ufwala, watu tuna hasiraCha msingi wote tutoke
Hii ishu ya kwamba Yanga ipite ilikuwa inanikarahisha sana.
Mwakarobo yupi sasa Mkuu Njano au Mwekundu 🤣🤣Mwakarobo wametuambukiza ujinga kbsa wa kufika robo
AhaaaaWanangu wa Al Ahly upande wa Shomari Kapombe ni uchochoro tupite tu