Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tayari umeshaanza kuingi kwenye mfumo wa Mwakarobo, baada ya miaka kadhaa kiherehere kitawaisha na tutaanza kuzungumza lugha moja.Mwarabu piga nyingi huyu Mwakarobo sugu
Labda mtusaidie nyieSimba leo msipopigwa 3 sijui 🤣🤣🤣🤣
Simba ujinga ujinga tu last season tulimfsta wydad tukiwa na goli moja , kilitokea niniKupoteza game Dar ilikuwa kosa kubwa sana.
Chama goooalll 🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣🤣🤣 oyaSimba inacheza kama kikundi cha wahuni.
yule anaesulubishwa muda huuMwakarobo yupi sasa Mkuu Njano au Mwekundu 🤣🤣
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aziz anafunga kwa ugumu, eti laini anakosaaa, uchuro huu.Chama goooalll [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nyambafu leo hamtoboi
wapi tumekandwa kote tumeshikilia bomba hadi refa kaingilia kati kuwaokoa watoto wa motsepeNyie hammiliki na bado mnakandwa vilevile
Wazee wa kuposesi mpira. Ngapi Ngapi huko?Tumewakosa hawa vibweka
😂😂😂Wifi ni kulewa tyuuuu!! 🤣🤣🤣🤣
Ila leo nacheka na kulia kwa wakati mmoja
Wewe park bus kama mbwa koko aliyeficha mkia wake, sisi hiyo sio falsafa yetu.wazee wa kumiliki mpira, ila wanakandwa