Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Walishazoea kupulizia waarabu madawa , ndo maana sahivi majamaa wanakuja na mapipa yaoLini makolo wakatamba Kwa waarabu [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walishazoea kupulizia waarabu madawa , ndo maana sahivi majamaa wanakuja na mapipa yaoLini makolo wakatamba Kwa waarabu [emoji23]
Umeshindwa kuelezea jinsi yanga ilivyotoka kitofauti?aya na ww umetolewa kwa penati
Hongereni sana, sasa mna kombe la kufa kiume la kwanza.Simba msijisahulishe mmepigwa nje ndani dadeq 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
sawa ila bahati haijawa kwenu leoMpira ni mpira tu,
Wamepewa tende za buree🤣😂😁😁Mtani bao ngapi??? 🤣🤣🤣
Mmebanduliwa wenyewe kavu kavu, kwenye kundi team lenu bovu ooooooo 😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣 tunacheka na kulia kwa wakati mmoja..😂😂😂
Wifi naomba niache familia nzima leo ina machungu..!🙌
🤣🤣🤣🤣 wakale daku wameandaliwaWamepewa tende za buree🤣😂😁😁
Mohammed Hussein sub yake nani?Tunahitaji mbdala wa Kapombe, Job na Fred
🤣🤣🤣🤣 yote maisha mtani ila tumepambana ww mwenyewe si umeona??Hongereni sana, sasa mna kombe la kufa kiume la kwanza.
Kile kirefa kinakatwa na majini ya mayelePenati ya kiwaki hii
Yeah na sub ya Mohamed Hussein. Kennedy Juma ni beki mzuri shida yake hana kasi na ni mzitoMohammed Hussein sub yake nani?
Hahaha ujue we ni miyeyusho sanaKile kirefa kinakatwa na majini ya mayele
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kesho naruka kichura chura [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Derby ya upande mmoja?Derby hii
Uduguu umeshatokaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Simba msijisahulishe mmepigwa nje ndani dadeq [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]