Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Derby siku zote haitabirikigi.Derby ya upande mmoja?
Leo mtani kaniotea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Derby siku zote haitabirikigi.Derby ya upande mmoja?
Kila siku unaotewa wewe tuuDerby siku zote haitabirikigi.
Leo mtani kaniotea
Mwakarobo jr wapata kombe la kufa kiume.Mbumbumbu fc
Taifa liliwakilishwa na yanga tu
Hawa wengine No mbombo
Kaliwa kama samaki. Pande zote mbili (nje, ndani)Simba hajapigwa kwa VARuVARu huko?
Dusko tu limekuangukia mwarabu ila we mwenyewe si umecheki pafomansiKila siku unaotewa wewe tuu
Sikumbuki ni wakati gani tangu soka livunbuliwe waarabu waliwahi kuongoza kwenye performance😁Dusko tu limekuangukia mwarabu ila we mwenyewe si umecheki pafomansi
Full backs za waarabu leo zilikuwa zinabembea kwenye msuli wa Kibu
Ahly siku zote ukiwa kwake anatawala mchezo kwa dakika zote.Sikumbuki ni wakati gani tangu soka livunbuliwe waarabu waliwahi kuongoza kwenye performance😁
ile ni NIGHT ROBBERY, CLEAR GOAL
aiseeDk 89 .......
Makolo 0 .....Al ahly 2
Mimi naiita ni “Daylight robbery”.ile ni NIGHT ROBBERY, CLEAR GOAL
Mbombo kwa kichaga ni ugali ambao haujaiva unakuwa na mabongebonge au mafundo ya unga mbichi 🤓Mbumbumbu fc
Taifa liliwakilishwa na yanga tu
Hawa wengine No mbombo
[emoji23][emoji23][emoji23]Solidarity ya nyokweee, haya 12 Aprili mrudi kwenye ligi yenu kupambania nafasi tena.
Mkuu hivi wewe ni mshabiki wa timu gani bongo na ulayaSimba hajapigwa kwa VARuVARu huko?
Yeye kamaanisha kwa kinyakyusa maana yake "kazi"Mbombo kwa kichaga ni ugali ambao haujaiva unakuwa na mabongebonge au mafundo ya unga mbichi 🤓
Kama Uto...walishiriki peke yao upo sawa.Mbumbumbu fc
Taifa liliwakilishwa na yanga tu
Hawa wengine No mbombo