daraja la kigamboni
JF-Expert Member
- Apr 28, 2016
- 3,127
- 3,062
Hii game dakika 90 sare 1 - 1
Al Hilal wanashambuliwa sana
Al Hilal wanashambuliwa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na warembo haswaaUna ugomvi na mume wa warembo wewe 😂
Mbio za farasi mdogo 😝😝😝Tunataka goli hzo kabumbu mtaangalia kwny historia zenu
Mental Health is really.Hata tusiposonga mbele, hao makolo huwa wanachukua kombe? Wote wa hapahapa tu. Toka wameanza, kama wacheza rede tu, hawachukui uzoefu na makosa yao ya miaka yote. Watarudi tu, nimekaa palee 👉
[emoji23][emoji23] unawezaje kumgusa mtu kwao banaYanga kama hamtaki waumie msiwaguse
Dakika 10 za mwanzo wa 2nd half tulipotea. But tumeregain.Sio kweli, Yanga imekamata mchezo
Utadhani Uto ndo wapo nyumbaniHawa wasudan hakuna kitu tutawapiga nje ndani tukipangwa nao
Ila keshagongewa na katibuNa warembo haswaa
Chama la watuka ( wanaume tusio na kazi) 😄😄We jamaa chama gani? Siwaelewi na National Anthem
Ahhh kumbe na yy ana katibu?Ila keshagongewa na katibu