Hapana, kwa sasa bado tuna wawakilishi wawili huko CaclMi naona watanzania twende TU na Al Hilal angalau tumeshapata team ya nyumbani
Na game ijayo watapata muitikio mkubwa zaidiWazo zuri sana.
Watakuwa wamefurahi sana.
Nimekuja kwasababu niliahidi
Najua tunaenda nao wote ila ni hadi kesho tushinde la hasha mlima utakuwa mrefuHapana, kwa sasa bado tuna wawakilishi wawili huko Cacl
Yeboyebo wanakufaš¤£Yanga kazi anayo
Kesho yanga akishinda atajiweka kwenye mazingira mazuri ya kusonga mbele kundi limekaa vizuri hiliBeluzidad kapigwa na Mediama
Hii ni home team tuishi nayoAl Hilal ni wenzetu kabisa , wako Dar toka Oktoba wamepiga kambi
Kiherehere ndio umejaliwaDah uto anashika kia. Wenzie wote wana point 3.na kesho anaenda kupasuka tena. Uto kwel akazane kipaj cha mitindo
Ukikaidi utapigwa mnywa supu.supu ikawapa majanga sasa mumevaa musuli vitu rojorojo kesho munaenda kupakatwa na msuliKiherehere ndio umejaliwa