kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,089
- 9,664
Kibu anawapa jakamoyo...anawapa wakati mgumu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujanielewa, naongelea kwa timu ambayo imeshafuzu mchezaji professional anayejitambuwa hawezi kupata na kutake risk akose mechi za ushindani kwenye klabu yake.Kumbe ndio maana wakina Kibu hawakamii
Waache ustaa bana
Umeukana utanzania?Hii timu yenu
Chenga kweli yaniMsuva. .. hovyo
Niko na shabiki wa Yanga hapa amemaindi kweli kuona Kibu kafanyiwa faulo.Kibu kafanyiwa terrible foul kwenye jaribio lake la counter attack
Amekaa au kasimama anagombezaHivi mnamuona kocha wa Algeria [emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kocha wa Algeria ana roho mbaya sana
Nilikuelewa nilifanya kusudi tuHujanielewa, naongelea kwa timu ambayo imeshafuzu mchezaji professional anayejitambuwa hawezi kupata na kutake risk akose mechi za ushindani kwenye klabu yake.