FT: Algeria 0-0 Tanzania | AFCON Qualifier | Tanzania yafuzu AFCON

FT: Algeria 0-0 Tanzania | AFCON Qualifier | Tanzania yafuzu AFCON

Algeria vinara wa Kundi F katika kufuzu kwajili ya AFCON watawaalika Tanzania (Taifa Stars) katika mchezo utakaofanyika katika dimba la Annaba huko Algeria.

Taifa Stars yenye alama 7 inahitaji ushindi au sare ya aina yoyote ili iweze kufuzu huku Algeria ikikamilisha ratiba ikiwa na alama zake 15.

Pia Taifa Stars itakuwa inaiombea mabaya Uganda (The Cranes) katika mchezo wake dhidi ya Niger. Ikumbukwe Uganda ina point 4 ikishinda kwa magoli mengi itaweka rehani nafasi ya Taifa Stars.

Mechi zote ni saa 4:00 usiku

Kila la heri Taifa Stars🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
unakitu utafika mbali sana mkuu
 
Halafu kumbe meneja wa simba kaitwa timu ya taifa halafu wamefanya siri. Hii timu utadhani ni ya watu wachache
 
Kahamishiwa wapi ?
Nadhani kaitwa timu ya taifa Tanzania ndiyo maana kitambo amekuwa haonekani pale Simba. Ssiku za nyuma alikuwahi kutumika pia timu ya taifa, nadhani baada ya mechi ya leo atarudi
 
Back
Top Bottom