FT: Algeria 0-0 Tanzania | AFCON Qualifier | Tanzania yafuzu AFCON

unakitu utafika mbali sana mkuu
 
Halafu kumbe meneja wa simba kaitwa timu ya taifa halafu wamefanya siri. Hii timu utadhani ni ya watu wachache
 
Kahamishiwa wapi ?
Nadhani kaitwa timu ya taifa Tanzania ndiyo maana kitambo amekuwa haonekani pale Simba. Ssiku za nyuma alikuwahi kutumika pia timu ya taifa, nadhani baada ya mechi ya leo atarudi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…