3 Angels message
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 5,350
- 15,426
Mzize tangu amkatae Kristo kuwa Bwana na mwokozi wake ameishaHii timu bora ikose tu nafasi ya kufuzu. Maana ukiona mpaka Clement Mzize anaanza, ni ushahidi tosha kama Taifa hatuna wachezaji wenye viwango vya juu wa kulibeba Taifa.