Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kama timu ya umisetaSema hata tukifuzu hapa basi tutakua tumepita kiujanja ujanja sana yani timu imekaa kimchongo mchongo [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Malengo ya stars leo ni kutofungwa na siyo kucheza mpira, jaribu kuelewa mbinu za mchezo.Duh...Posesheni Tz 22%, nafikiri hawa wanaoweka hizi pasenti ni Malyenge..!
Mechi ya Dar es Salaam tulipowafunga wale vijana wa kurudisha mipira wakawa wanapoteza mda,mpira ulipoisha kocha wao kwa hasira akihojiwa alisema uhuni mliofanya mechi inayofuata tutamwachia Uganda atufunge halafu tuone mtafuzu vipi
😂😂Halafu hawa Algeria walivyo maboya hawajui kama kocha wa stars ni RAIA wao.
Wanashindwa kufikiria hata kibarua cha ndugu yao?
Mama hajawapigia simu hawa waarabu kuwaambia Bandari zetu tumewapa wajomba zao?Halafu hawa Algeria walivyo maboya hawajui kama kocha wa stars ni RAIA wao.
Wanashindwa kufikiria hata kibarua cha ndugu yao?
Ah bc bora tufungwe tuu 😂Mechi ya Dar es Salaam tulipowafunga wale vijana wa kurudisha mipira wakawa wanapoteza mda,mpira ulipoisha kocha wao kwa hasira akihojiwa alisema uhuni mliofanya mechi inayofuata tutamwachia Uganda atufunge halafu tuone mtafuzu vipi
Wala simbezi. Ila ni ukweli bado hana uzoefu wowote ule kwenye timu ya Taifa! Na pia hata kwenye timu yake ya Yanga siyo chaguo la kwanza la mwalimu Garmond.Kwanini unambeza Mzize?
Umeanza kuleta ujinga hapa ni Tanzania vs AlgeriaNimeona Kibu Kaachia Kombora kali Kama lile alilomtungua YULE kipa wa Kuprotekti skrini...!
Kipa wao Kasevu ...!
Tungekuwa tunaongea mengine sasa ivi..!
Wana tamaa sana hao wavaa makobazi sijui wanatakaje?Nao Algeria ni sifa tu hamna chochote wanachokipata kwenye mechi hii
Na huu ndiyo ukweli mchungu! Kama tumeshindwa kuwa na professional players wengi nje wa kuja kulisaidia Taifa kwenye mechi kama hizi, basi bora tukapunguza tu idadi ya wachezaji wa kigeni kwenye ligi yetu.Mafanikio ya Simba na Yanga yanaletwa na wachezaji wageni.
Yanga bila kuchukuwa kipande cha As Vita fainali ya CAF tungekuwa tunaisikia tu.