Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Ilo dogo hamna kitu.Mzize anatoka
Anaingia Sopu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilo dogo hamna kitu.Mzize anatoka
Anaingia Sopu
Wangemuingiza Boko hizi ndio mechi za malegendary, hao Watoto hawawezi kitu.Mzize anatoka
Anaingia Sopu
Wewe usiwe mpumbavu wa kupitiliza,huo ni mpira,unazijua sheria za FIFA unataka wagawe game! Hivi wewe jamaa hua una akili timamu kweli? Au kuna mwarabu au muislamu hua anagonga mkeo?Waarabu wana roho Mbaya sana, wanataka kumuingiza Mahrez, yani hawa watu siyo kabisa.
Ndio utashangaa kuna watu huwa wanadhani Mwarabu ana urafiki na mtu mweusi.
Kalale, 😄Sina mpango wa kuangalia tena
Huku UTV bado ubao unasoma 2Uganda wanaongeza goli la 3
Punguza uchoko, tafuta mchezo wa kushabikia, huu siyo mchezo wa mapunga.Hawa Algeria watupie hizo goli zao tatu sijui Tano mapema tushangilie Uganda kufuzu....
Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
We subiri kuliwa kiboga tu, mama anguPunguza uchoko, tafuta mchezo wa kushabikia, huu siyo mchezo wa mapunga.