FT: Algeria 0-0 Tanzania | AFCON Qualifier | Tanzania yafuzu AFCON

Hii timu bora ikose tu nafasi ya kufuzu. Maana ukiona mpaka Clement Mzize anaanza, ni ushahidi tosha kama Taifa hatuna wachezaji wenye viwango vya juu wa kulibeba Taifa.
Mzize tangu amkatae Kristo kuwa Bwana na mwokozi wake ameisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…