FT: AS Far Club 1-0 Simba Queens | CAF Women's Champions League | Stade Prince Moulay Al Hassan

FT: AS Far Club 1-0 Simba Queens | CAF Women's Champions League | Stade Prince Moulay Al Hassan

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Leo saa 4:00 usiku kwa saa za Afrika ya Mashariki Simba Queens watashuka dimbani kumenyana na AS Far Club ya Morocco.

Ikumbukwe kuwa Simba Queens ndio wawakilishi wa ukanda huu wa Afrika Mashariki. Hivyo hawawakilishi nchi pekee bali ukanda wote huu.

Tutaleta live updates hapa kuanzia saa 4:00 usiku na mchezo utakuwa live kupitia DStv chaneli ya Variety 4.
 
B82B807A-4A69-4869-B0EF-14E644D1A8C9.jpeg
 
30 October 2022
Rabat, Morocco 🇲🇦


CAF WOMEN'S CHAMPIONS LEAGUE
19:00ASFAR - MoroccoN : NSimba Queens - Tanzania

Timu ya jeshi la Morocco ASFR inayokabiliana na Simba Queens leo katika michuano ya CAF Klabu Bingwa ya Afrika upande wa soka la wanawake

1667132315513.png


SIMBA QUEENS WALIVYOFANIKIWA KUFIKA MICHUANO HIYO YA CAF

 
30 October 2022
CAF WOMEN'S CHAMPIONS LEAGUE
19:00ASFAR - MoroccoN : NSimba Queens - Tanzania

Timu ya jeshi la Morocco ASFR inayokabiliana na Simba Queens leo katika michuano ya CAF Klabu Bingwa ya Afrika upande wa soka la wanawake

View attachment 2402234
[emoji115]wamama hawa wanacheza na watoto wao Simba Quens.
 
26 October 2022
NYOTA WA KIMATAIFA TOKA GHANA ANAYEKIPIGA SIMBA QUEENS YA TANZANIA, ANATAKA KUWEKA HISTORIA MPYA MICHUANO HII YA CAF


Video courtesy of AfricaNGSPORTS

"I want to make history at the CAF Women Champions League "- Simba Queens forward Philomina Abakah​

View attachment 2402239
FEFF880B-2605-42CB-ACC6-8778B05A5D0D.jpeg

Ghanaian and Simba Queens forward, Philomena Abakah


biggest inspiration, and I can’t imagine his disappointment if I did something aside football. So, his support drove my faith and he’s the last person I talk to before playing any match which has become something like a game day ritual for me. He made me fall in love with football. We used to go watch Abusua Dwarfs and some colts games in Cape Coast together when I was young".

Philomena begun her playing career with Cape Coast based Chalton Ladies before moving to Ridge City Women Football in Accra.

She then joined Women Premier league side Berry ladies FC in 2021 before sealing a sensational two-year deal with Tanzanian giants Simba Queens in 2022.

Abekah contributed to 11 goals, scored 7, and assisted 4 in 18 games for Berry Ladies in the Ghana Women’s Premier League.

Host club ASFAR FC, last year’s bronze medalists will face Tanzania’s Simba Queens, Zambia’s Green Buffaloes and Liberia’s Determine Girls in Group A.

The 2022 TotalEnergies CAF Women's Champions League is scheduled to take place from 30 October to 13 November 2022 in Morocco.
Source : "I want to make history at the CAF Women Champions League "- Simba Queens forward Philomina Abakah
 
Mademu wa simba wanajua kukatika tu leo wanafungwa
 
30 October 2022

LIVE : CAF Women's Champions League - Group Stage :

FULL TIME RESULTS :
ASFAR FC 1 - 0 SIMBA QUEENS FC


Source : CAF TV
 
Leo saa 4:00 usiku kwa saa za Afrika ya Mashariki Simba Queens watashuka dimbani kumenyana na AS Far Club ya Morocco.

Ikumbukwe kuwa Simba Queens ndio wawakilishi wa ukanda huu wa Afrika Mashariki. Hivyo hawawakilishi nchi pekee bali ukanda wote huu.

Tutaleta live updates hapa kuanzia saa 4:00 usiku na mchezo utakuwa live kupitia DStv chaneli ya Variety 4.
Watafanya kama walivyofanya kaka zao Inshallah
 
Back
Top Bottom