Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Ni kama mimi itakavyokuwa juma tanoKwenye Utaifa nashangiliaga timu yoyote kikubwa iwakilishe Taifa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kama mimi itakavyokuwa juma tanoKwenye Utaifa nashangiliaga timu yoyote kikubwa iwakilishe Taifa.
Uwaga mabantu yanajipendekezaga kwa waarabu, afu Simba queen kocha haina, hakuna tactics, wala mipango ya mwalimu unaweza kuiona ndani ya match husika, Zaid uwezo binafsi wa WACHEZAJI!! Ndomana chance nyingi created by queens ni personal efforts sio team strategical plans! Na ndomana positioning kwenye umaliziaji imekuwa ndoto, yaan WACHEZAJI wanashtuka mpira upo miguuni mbele ya goli kwa kitete wanafanya madudu! Move nyingi za magoli zimekufa kwasababu hawakuw na mipango clear! Zaidi Rabatt walichoi'win Simba ni physic tu! Kwengine Simba deserved winning the game for more than 3goals!!Alikuwa na matokeo yake
Tulisema mtafungwa wanajua kutingisha makalio tuTimu yenu ya kiume haipo kwenye level hizi achilia mbali hiko kikundi cha akina dada