Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Team haina kasi kabisa...Shida Huyu kocha mpya mi naona. Simba queens ilikuwa na rekodi za kushinda kwa idadi kubwa ya magoli ila leo wanakosa chance za wazi kabisa.
Yaani kama World Cup inafanyika Qatar kwahyo timu zote ziko hapo hapo nchi husika MoroccoAisee kwa hiyo hakutakuwa na mechi nyingine ya marudiano baada ya hapo?
YahTeam haina kasi kabisa...
Unajifanya hauna macho kisa utopolo sio!?? Kwani vile vijeba vyenu vinavyovaa sketi viko wapi...!??Si CAF huko hua hakuna kubebana imekuaje tena vilio
Hawa makocha wanakula pesa za bure kabisa. Wachezaji wamekuwa wazito sana isipokuwa wachacheTeam haina kasi kabisa...
Refa kama huyu mbona mtamu sanaRafarii Akhona Makalima kutoka Bondeni Africa ya Kusini leo amejua kutukaziaView attachment 2402643