kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,089
- 9,664
Aucho Uzee ushamshika...! Nyonga hazitaki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapana hii inaonesha uhai ile ya jana ni komediHii mechi ya Leo sawa na ya Jana ya Simba Timu zinacheza hovyo tuu
kwamba ujaona amepigwa kiatuAucho Uzee ushamshika...! Nyonga hazitaki
Kweli kabisaHii timu nao ni vibonde tu,utopolo akijitahd anashinda
Mtasubiri Sana hata goli la of side hawapatiBamako jitahidi mtuheshimishe
Tp Mazembe ni mbovu wala tusitafute maneno ya ku-minimize kuwafanya waonekane boraToa na matokeo walivyocheza na Monastir walitokaje? Kama mpira ndio upo na hesabu ya namna hiyo
Huyu Aucho amekuwa akiandamwa sana na majeraha, hili ni tatizo39' Aziz Ki anaingia kuchukua nafasi ya Aucho aliyeumia
Hii mechi ya Leo sawa na ya Jana ya Simba Timu zinacheza hovyo tuu
Hakuna kitu zote team ni mbovu simba na yanga.kweli ila ule wa jana umezidi ubovu
Umri babaHuyu Aucho amekuwa akiandamwa sana na majeraha, hili ni tatizo
Sawa kivipi? Mm champs wewe luzas. Usawa utatka wapi hapo? Yaani ligi kuu unafananisha ni ligi daraja la kwanza?Makolo yana omba tupigwe ili tuwe nayo sawa
hakuna kitu simba ndo maana hawajielewi hadi sasaHakuna kitu zote team ni mbovu simba na yanga.