zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,432
- 24,596
kipindi cha 2 utakataa haya maneno yakoMchambuzi anamuuliza mchambuzi mwenzake eti "kwanini hakuna goli"
Wakati ye mwenyewe kaangalia mpira na jinsi Mayele anavyo dimba dimba kule mbele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kipindi cha 2 utakataa haya maneno yakoMchambuzi anamuuliza mchambuzi mwenzake eti "kwanini hakuna goli"
Wakati ye mwenyewe kaangalia mpira na jinsi Mayele anavyo dimba dimba kule mbele
Yah kakaAcha tuangalie kina Casemiro tusafishe macho kwa kutazama ukungu kwa muda mrefu
SidhaniYanga wametumia ule uchawi wao wa ndagu ya kutoa sadaka kwa watoto..watapata goli kipindi cha pili!
Huyu jamaa anachezea U20 na amezaliwa 2004Kweli kabisa, na Onyango tatizo lake ni utoto ndiyomaana akipigwa chenga anaamua kukumbatia mchezaji hadi anaruhusu penati [emoji38]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Tanzania haiwezi wakilishwa na losersWawakilishi wa Tanzania wako uwanjani muda huu wale waliokuwa uganda jana wanawakilisha umoja wa misheni town pale kariakoo
Hii ni mechi ambayo itaamuliwa kwa bahatikipindi cha 2 utakataa haya maneno yako
HahahaMashabiki wana vibe la kunguni hawapatani na mwanga
Uchawi wao pia ni kuvaa nyeusiYanga wametumia ule uchawi wao wa ndagu ya kutoa sadaka kwa watoto..watapata goli kipindi cha pili!
Hawa Bamako hamna kitu...
Watagawa point tu ktk kundi lao
Ukweli ambao scars hataki kuusikia pamoja na makolo wenzie. Saivi wanakimbilia kichaka za timu mbovuMonastir ni mbovu? Mbona wamecheza na hao hao Bamako na wameshindwa kuifunga, tena Monastir ndiye aliyechomoa goli.
Hao Tp Mazembe si ndio iliyocheza nusu fainali msimu ulioisha?
Hawa New Castle wako serious sana
Siwez angalia mechi ya timu Makapi. CAF wangefanya mpango mechi zao zichezwe Jumatatu tuuwanaume ndo hucheza vile
angalia mechi ya kiume hapo achana na walevi wa jana
Casemiro muda huu mzee katupia kamba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kidogo watuwekee
Wale Wa Jana Walikuwa Wenye Nchi ndo Maana walitanguliza Maslahi Ya Nchi mbele ..!Wawakilishi wa Tanzania wako uwanjani muda huu wale waliokuwa uganda jana wanawakilisha umoja wa misheni town pale kariakoo