Yap point moja ugenini ni matokeo mazuriCongrats wananchi!
Ulijua wanashinda au sio?Kwa kweli Bamako wameniangusha
Umekula wewe kande, sio Yanga. Katazame msimamo kisha ukalilie bafuni.Tatizo hapo badala Ya Kuongeza kwenye Ulinzi ...Kocha anaingiza Kiberenge 'Tushakula Kande'..!
Nilikuambia kuna uwezekano mkubwa wa mimi kuja kuongea tofautidaaa yanga kazembea kidogo
Hii game ukiiangalia utagundua Yanga haina makocha, hii ilikuwa game ya kuchukua points zote.Tatizo hapo badala Ya Kuongeza kwenye Ulinzi ...Kocha anaingiza Kiberenge 'Tushakula Kande'..!
Mkuu uliiona lakini?
Hufaaaaaaiii
Hawa loser kumbe mnawafuatilia?Nilikuambia kuna uwezekano mkubwa wa mimi kuja kuongea tofauti
Now umekiwa wewe wakwanza kuongea tofauti na kauli yako ya mwanzo
Refa kapendelea, watasawazishaje katika dakika ya tisini na moja ilihali mpira unachezwa kwa dakika tisini tu?Hahaha haya namaliza ila ni 1-1
Wewe mbona kila mtu anakuamgusha? Mazembe wanakuangusha, Bamako wanakuangusha, Makolo wanakuangusha. Hebu jishikilie bana mtani!Kwa kweli Bamako wameniangusha
Kujifariji kwa Makolokolo [emoji3]Wamemaliza game kinyongeee, wanajua wamezingua.