Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Bado unaendelea kuona hivyo hivyo?Nimeona R. Bamako 0 -1 Yanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado unaendelea kuona hivyo hivyo?Nimeona R. Bamako 0 -1 Yanga
Wenye makocha ni kina nani hapo?Hii game ukiiangalia utagundua Yanga haina makocha, hii ilikuwa game ya kuchukua points zote.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Wamenikera sana Yangu ..wameshi dwa vp kukaza wapuuzi hawa..?? Ona sasa wanatuweka kwenye sintofahamu kubwa badala ya kukusa ya point 6 leo tunabaki na 4 ...japo nafasi ya pil ila bado point 6 zilikua muhim sana..Damn YangaAtleast hatujapigwa 3-0 homie sweet homie
Kuna mtu asiyetaka kuifuatilia Yanga? Tena wamelipia kabisa kwenye vibanda umiza wanangoja kwa hamu Yanga apoteze game, mwishowe wakaishia kushangilia draw maana haikuwa hali...Hawa loser kumbe mnawafuatilia?
Vipi, ulikuwa unaucheki huu mpira kwenye Big Screen ya Harrier pale Jangwani?Hawa loser kumbe mnawafuatilia?
Wakati huo bamako wanakuwa wamelala sio?Hii game ukiiangalia utagundua Yanga haina makocha, hii ilikuwa game ya kuchukua points zote.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Makocha tunao ila hii game nakubaliana na wewe kwamba ilikua ya kuchukua point zooteHii game ukiiangalia utagundua Yanga haina makocha, hii ilikuwa game ya kuchukua points zote.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Ishu ni kuifatilia ukiwa na lengo ganiKuna mtu asiyetaka kuifuatilia Yanga? Tena wamelipia kabisa kwenye vibanda umiza wanangoja kwa hamu Yanga apoteze game, mwishowe wakaishia kushangilia draw maana haikuwa hali...
Mkiambiwa mabeki wafupi mnanunaWhy Caze na Nabi hawafundishi kuzuia corner na set pieces?why ?
Mmeanza ramli chonganishiMna haki ya kujipongeza kama mnafikri ni kebehi subirini marudiano Taifa, hongereni na mkumbuke TP kajeruhiwa na Mwarabu, mkienda kwake afe beki afe kipa mtapigwa
Mwarabu yule Taifa hamna ujanja naye, changeni karata zenu vizuri mapema.
Hao mabeki wenu warefu waliwasaidia nini dhidi ya set piece za Horoya?Mkiambiwa mabeki wafupi mnanuna
Ulikuwa unasema?Usimtukane mamba kabla hujavuka mfereji.Timu yako ya utotoni ishawashwa huko
mkuu wewe utaongea nini kwa mpira huu zaidi ya kusema yanga tumestahiki point 3 ila uzembeNilikuambia kuna uwezekano mkubwa wa mimi kuja kuongea tofauti
Now umekiwa wewe wakwanza kuongea tofauti na kauli yako ya mwanzo
Hao mabeki wenu warefu waliwasaidia nini mlipopigwa hapo kwa Mkapa na kule Guinea?Dah ....Ufupi Wa Mabeki Watajwa tena juu ya hii draw Ya Leo...!
Je Kuna Ukweli Ufupi Wa Mabeki unaigharimu Yanga..?