Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Nitajie nyie makolo mliomkojolea MazembeNikutajie ni mara ngapi TP Mazembe wamekukojelea?
Au nisikuharibie siku?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitajie nyie makolo mliomkojolea MazembeNikutajie ni mara ngapi TP Mazembe wamekukojelea?
Au nisikuharibie siku?
Wale mabeki warefu wa makolo walisaidia kuzuia zile chuma 3 za Raja?Tatizo pale Mabeki Ni Wafupi..!
Mkibisha Leteni Kipimo cha Urefu cha JOB.! Sidhani kama Kavuka Sentimita mia arobaini Na tano..!
Saizi sio 0-1 tena?Mimi naona hivi
Tp Mazembe mnaenda kuchukua pointi zenu kule kuleHii sare sijaipenda hata kidogo, ile timu sio ya kutoka nayo Droo, Yanga tulipaswa kushinda.
"TUTAIKUMBUKA MECHI YA BAMAKO"
Mark hayo maneno yangu.
Mechi imeisha msimamo wa kundi huu hapa, je una jipya?Saizi sio 0-1 tena?
Mechi imeishaje?Mechi imeisha msimamo wa kundi huu hapa, je una jipya?
1-1Mechi imeishaje?
Hapo fresh sasa
Kwahyo umeridhika Yanga kafungwa kule Mali sio?Hapo fresh sasa
Msome Zuzu hapa, huyu ni Uto mwenzakoKwahyo umeridhika Yanga kafungwa kule Mali sio?
Tp Mazembe mtampiga huko Lubumbashi na huyu Bamako atapigwa Dar, hivyo bado nafasi mnayo ya kufuzu.Hii sare sijaipenda hata kidogo, ile timu sio ya kutoka nayo Droo, Yanga tulipaswa kushinda.
"TUTAIKUMBUKA MECHI YA BAMAKO"
Mark hayo maneno yangu.
Nyuma mwiko ila upake mafutaMbele daima nyuma mwiko [emoji16][emoji3577]
Acha Kuzeeka Vibaya...!Wale mabeki warefu wa makolo walisaidia kuzuia zile chuma 3 za Raja?
Tukimtaja Raja haja zote zinawatokaAcha Kuzeeka Vibaya...!
Ushaanza Kuchanganya Mada, Leo 'Utopolo' ndo Wamecheza
Hii ndo nini sasa?Msome Zuzu hapa, huyu ni Uto mwenzako View attachment 2531062
RegretsHii ndo nini sasa?
Kwa wacha-mbuzi wenu uchwara hao ambao tuliwaziba mdomo katika mechi ya Club Africaine vs Yanga na Yanga vs Tp MazembeRegrets
Lazima watajirekebisha, ikitokea wamefungwa na MONASTIR game ijayo kidogo utaleta unafuu kwetu, lkn mentality ya kutafuta sare imetuangusha, game ilikuw Nyepesi kabisa.Tp Mazembe mnaenda kuchukua pointi zenu kule kule