FT: ASEC Mimosas 3-0 Galaxy | CAF CL | 19.12.2023

FT: ASEC Mimosas 3-0 Galaxy | CAF CL | 19.12.2023

elijaah

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2023
Posts
1,094
Reaction score
2,389
Game inachezwa mda huu wana Simba ombeni Mungu galaxy afungwe vyenginvyo bado itakua mupo ktk nafas mbaya.

1703011619449.png
 
Vengivyo ni nini?
Hamuko ni nini?
Chura unaandika kwa hasira hadi unakosea hovyo, huyo anapigwa tu na Simba ataendelea kushinda mechi zijazo.
Wacha bwanaaaaa, hata nje ya Dar atashinda tu?
 
Game inachezwa mda huu wana Simba ombeni Mungu galaxy afungwe vyengivyo bado itakua hamuko nafas nzur.
Ikiisha kwa Galaxy kufungwa inamaana kuelekea match day 5, timu tatu zitakuwa na nafasi kila mmoja kuvuka isipokuwa Asec atakuwa kafuzu moja kwa moja kwenye kundi lao.
Ila ikiisha kwa kwa Galaxy kushinda itabadilila na kuwa ni vita ya wote wanne kutaka kufuzu
 
Dakik ni ya 27 ASEC anaogoza kwa goli 1 kwa bila
 
Back
Top Bottom