Kinacho nishangaza ni formation aliyoipanga kochaILe mizee ya Yanga michawi sana, Mchezaji akihama ppale inafanya uswahili mwingi sana ili affeli mbele ya safari. Mayele atajuta kucheza Yanga. Akina Sibomana, Yikpe, Sarpong nk nk huko waliko ni magarasa vifungo vimebaki Utopoloni pale.
Mbona hasira? Kwani Mayele hayupo? Tatizo lake Mswahili, kwa hiyo tunaenda naye kimdomo-mdomoWewe ni mjinga inafugwa man city akiwemo haland what special with mayele.?
Wanazingua san na wakiweka kitufe cha live hawakiondoi ata game ikimalizikaMechi ikiwa haichezwi Tz mods huwa hawaweki kitufe cha Live?
Wanazingua kwakweli..hii mechi inatuhusu pia wataanzania..maana bado tupo kwny mashindano kujua nini kinaendelea...Wanazingua san na wakiweka kitufe cha live hawakindii ata game ikimalizika
Na mdomo wakeNa Mayele akiwemo
Muhimu wakija galaxy fake tuwapigee, afu tukienda kulee tutoke na point 1.Asec baada ya hapa uhakika, basi kwao asitukazie
Mwasibu wa ushirika wa mashoga vipi tena mbona unapanic?Mbona hasira? Kwani Mayele hayupo? Tatizo lake Mswahili, kwa hiyo tunaenda naye kimdomo-mdomo