Hivi uto mnapataga wapi ujasiri wakuicheka Simba ikifungwa kimataifa ? Wakati nyie makundi hamjawahi kusogeza pua zenu?Wachezaji wa Simba wote mkirudi Kuna kazi ya kusambaza maziwa ya ng'ombe Dar es salaam nzima,
Hadi mikoani tunatuma.
Msijisahaulishe hamjui Kama Five stars striker Mayele anafuga[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kibu ni mzuri kuliko Mayele ...tuendelee na hili pambioUnajiuliza sababu ya kumpanga KIBU ni ipi???? Tangu mechi na Berkane na hii ya leo ni ipi???? KOCHA HAKUNA HAPA MKUU
Oooh Chama Chama Chamaaaaaa [emoji460] Ni 3-5 Hapaa...Nani Aliyesema Simba Haiwezi Kuchomoa Ikichomekwaaa..! [emoji41]Boco bocco goaaal mambo matamu kabisa hadi muda huu mpira ni 3 kwa 4 [emoji23][emoji23][emoji23]
Biashara imeshindikana asubuhi itamalizwa jioniKwahiyo ulienda kutimiza tu ratiba huko Benin?
Wanga wengiBoco bocco goaaal mambo matamu kabisa hadi muda huu mpira ni 3 kwa 4 😂😂😂
Acha watambe tu....ndio kibarua chao kwa Sasa.[emoji196][emoji196]wapo wengi humu utasema wanacheza wao
Tena....Nadhani pia huyu kochaa anakosa phylosophy ya game za kiafrica
Unamuachaje Banda , Morison na Bocco nje
Kocha Out
Na imeshindiliwa kweli-kweliOooh Chama Chama Chamaaaaaa [emoji460] Ni 3-5 Hapaa...Nani Aliyesema Simba Haiwezi Kuchomoa Ikichomekwaaa..! [emoji41]
Kang'ombe kenyewe kana kwashakorWachezaji wa Simba wote mkirudi Kuna kazi ya kusambaza maziwa ya ng'ombe Dar es salaam nzima,
Hadi mikoani tunatuma.
Msijisahaulishe hamjui Kama Five stars striker Mayele anafuga[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndio maana ya Tanzania oneKazi anayofanya Manula inabidi mechi ikiisha akapime vipimo vyote maana hii shughuli si ya kitoto
Tulikubaliana kuwa ana utulivu au?Goli la tatu Kosa la Inonga mpira wa kuosha yeye katoa pass kawai adui
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyingi ngapiMakolo kila mwaka wakishiriki Kimataifa lazima watie aibu kwa kupigwa nyingi