Shida ya kuwaza kwa kutumia makalio ndioBaada ya game za leo Makolo watarudi kwenye nafasi yao ya tatu watakayoishikilia mpaka mwisho
Hizi akili za Rivers Utd kabisaaaaUsije kukimbia au kuleta maneno yenu yale ya dawa kwenye Vyumba au ASEC Mimosas si kama ya miaka ile.
Kaa kwa kutulia..!
Kosi la maangamizi
Download DStv Now nikupe email na password ila utanitoa hata ela ya bia tatuJamani mwenye link ya game
Simba SC, leo jinsi Asec Mimosas wanavyokimbia kwa pasi za kasi na mabao ya haraka hii ni hatari vipi sisi wengine kama Azam FC, Namungo FC na Dar Young Africans tiketi zetu za kimataifa za Tanzania ziwe timu nne kweli itawezekana ?