FT: ASEC Mimosas 3-0 Simba SC | CAF Confederation Cup | Stade de L' amitie General

FT: ASEC Mimosas 3-0 Simba SC | CAF Confederation Cup | Stade de L' amitie General

Hiki kidada cha ZBC si ndio kilisema lile goli la sakho ni offside?
 
Ladies and Gentlemen, karibuni mshuhudie soka la kikubwa, soka la machampions.

Hii haina siasa na mambo yakuweka sura za watu vifuani.
 
Kwani mzee huwajui wachambuzi wa bongo sahivi wamejikausha kama sio wao vile
Afu ilikuwa kama bahati mbaya kwao, maana hawalutegemea kama linaweza kuwa goli bora. Baada ya hapo hawakuthubutu kabisa kuanzisha hiyo story.
 
Afu ilikuwa kama bahati mbaya kwao, maana hawalutegemea kama linaweza kuwa goli bora. Baada ya hapo hawakuthubutu kabisa kuanzisha hiyo story.
[emoji23][emoji23][emoji23] kin alikamwe na priva wachambuzi wa Google
 
Back
Top Bottom