Mzee Wa Kazi Chafu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2022
- 2,245
- 4,966
Cha Ajabu Ni Kwamba Timu Yetu Tunaitarajia Ichukue Ubingwa Shirikisho Na Makombe Ya ASFC Na NBC Premier League Inapigwa 3 Kavu Away...Tunapata Hofu Na Timu Yetu Juu Ya Ubingwa Wa Shirikisho Afrika Na Tunaona Ayubu Sisi Mashabiki Mulibwanji Huku Mtaani..Kwani cha ajabu nini hapo ikiwa nao huku walisha kalia vitatu?
Umebugizwa wewe then mimosas tuteseke?Hata mwandiko wako unaonyesha jinsi unavyoteseka
Kati ya mimi na ww nani anaonekana amevurugwa?.kwanza huamini timu yako ni mbovuuuu haijashiriki mashindano hayo kwa miaka kdhaa na hata ikiingia inatolewa round ya kwanza..Leo Simba walimiliki mchezo sema upepo haukua kwaoNaelewa maumivu unayopitia Pole sana utapona mwaka 2050 mtaenda tena.
Kikaolewe tuKimekosa athics za kazi na hakifit kwenye uchambuzi bora akatangaze R za roho na diva huku hakumfai
Goooooal kibudenga anamalizia goli la ushindi hapa.Kushika mkia upi wa ngo'mbe wenu? Si tutaungo'a ? Nyie tulieni mtajua hamjui
Timu yenu na nani..tuachie Simba yetu ..timu MwikoCha Ajabu Ni Kwamba Timu Yetu Tunaitarajia Ichukue Ubingwa Shirikisho Na Makombe Ya ASFC Na NBC Premier League Inapigwa 3 Kavu Away...Tunapata Hofu Na Timu Yetu Juu Ya Ubingwa Wa Shirikisho Afrika Na Tunaona Ayubu Sisi Mashabiki Mulibwanji Huku Mtaani..
Basi simba kashindaKimekosa athics za kazi na hakifit kwenye uchambuzi bora akatangaze R za roho na diva huku hakumfai
Hebu leta possession au uliangalia kwenye redio?Kati ya mimi na ww nani anaonekana amevurugwa?.kwanza huamini timu yako ni mbovuuuu haijashiriki mashindano hayo kwa miaka kdhaa na hata ikiingia inatolewa round ya kwanza..Leo Simba walimiliki mchezo sema upepo haukua kwao
Yesss najivunia kuwa mshabiki wa Simba. Ila ww utakua una matatizo huwezi kuwepo humu jukwaani just to prove kwamba simba wamefeli as if unalipwa ok let say unalipwa sasa hamuoni kama mnachekesha kwa sbb in reality Simba ni kubwaa simba inafanya vzr simba imeongoza kundi yani ni leo tuu imedrop hilo nyie utopolo aka ndala aka vyuraa aka ngo'mbe hamuoni hilo. Yani watu tupo nafasi ya pili kwny kundi ww huku unaharisha kama yule ngo'mbe wenu. Hahahhahhah pole sana kwako msaga sumu.I feel your pain Pole kolo wa kike.
We Unafamaje? Mi Mbn Threeimba Tagu Dhamani. [emoji41]Timu yenu na nani..tuachie Simba yetu ..timu Mwiko
Maelezo mengi pumba tupuYesss najivunia kuwa mshabiki wa Simba. Ila ww utakua una matatizo huwezi kuwepo humu jukwaani just to prove kwamba simba wamefeli as if unalipwa ok let say unalipwa sasa hamuoni kama mnachekesha kwa sbb in reality Simba ni kubwaa simba inafanya vzr simba imeongoza kundi yani ni leo tuu imedrop hilo nyie utopolo aka ndala aka vyuraa aka ngo'mbe hamuoni hilo. Yani watu tupo nafasi ya pili kwny kundi ww huku unaharisha kama yule ngo'mbe wenu. Hahahhahhah pole sana kwako msaga sumu.
3imbaWe Unafamaje? Mi Mbn Thimba Tagu Dhamani. [emoji41]
Nafasi ya pili?Yesss najivunia kuwa mshabiki wa Simba. Ila ww utakua una matatizo huwezi kuwepo humu jukwaani just to prove kwamba simba wamefeli as if unalipwa ok let say unalipwa sasa hamuoni kama mnachekesha kwa sbb in reality Simba ni kubwaa simba inafanya vzr simba imeongoza kundi yani ni leo tuu imedrop hilo nyie utopolo aka ndala aka vyuraa aka ngo'mbe hamuoni hilo. Yani watu tupo nafasi ya pili kwny kundi ww huku unaharisha kama yule ngo'mbe wenu. Hahahhahhah pole sana kwako msaga sumu.
Kabisa [emoji23]3imba
Wewe utakuwa mwajuma ndala ndefu...yaani mwanamke gani usiye na sitaha au moto wa kwa mpalange ndo unakuchamganya hapo ulipo mwananyamala kwa wahaya.....?Yesss najivunia kuwa mshabiki wa Simba. Ila ww utakua una matatizo huwezi kuwepo humu jukwaani just to prove kwamba simba wamefeli as if unalipwa ok let say unalipwa sasa hamuoni kama mnachekesha kwa sbb in reality Simba ni kubwaa simba inafanya vzr simba imeongoza kundi yani ni leo tuu imedrop hilo nyie utopolo aka ndala aka vyuraa aka ngo'mbe hamuoni hilo. Yani watu tupo nafasi ya pili kwny kundi ww huku unaharisha kama yule ngo'mbe wenu. Hahahhahhah pole sana kwako msaga sumu.