FT: ASEC Mimosas 3-0 Simba SC | CAF Confederation Cup | Stade de L' amitie General

FT: ASEC Mimosas 3-0 Simba SC | CAF Confederation Cup | Stade de L' amitie General

Kwani cha ajabu nini hapo ikiwa nao huku walisha kalia vitatu?
Cha Ajabu Ni Kwamba Timu Yetu Tunaitarajia Ichukue Ubingwa Shirikisho Na Makombe Ya ASFC Na NBC Premier League Inapigwa 3 Kavu Away...Tunapata Hofu Na Timu Yetu Juu Ya Ubingwa Wa Shirikisho Afrika Na Tunaona Ayubu Sisi Mashabiki Mulibwanji Huku Mtaani..
 
Naelewa maumivu unayopitia Pole sana utapona mwaka 2050 mtaenda tena.
Kati ya mimi na ww nani anaonekana amevurugwa?.kwanza huamini timu yako ni mbovuuuu haijashiriki mashindano hayo kwa miaka kdhaa na hata ikiingia inatolewa round ya kwanza..Leo Simba walimiliki mchezo sema upepo haukua kwao
 
Cha Ajabu Ni Kwamba Timu Yetu Tunaitarajia Ichukue Ubingwa Shirikisho Na Makombe Ya ASFC Na NBC Premier League Inapigwa 3 Kavu Away...Tunapata Hofu Na Timu Yetu Juu Ya Ubingwa Wa Shirikisho Afrika Na Tunaona Ayubu Sisi Mashabiki Mulibwanji Huku Mtaani..
Timu yenu na nani..tuachie Simba yetu ..timu Mwiko
 
Kimekosa athics za kazi na hakifit kwenye uchambuzi bora akatangaze R za roho na diva huku hakumfai
Basi simba kashinda
Eeh gooooal onyango anajifunga hapa
Mimosas 6
Simba 0
 
Kati ya mimi na ww nani anaonekana amevurugwa?.kwanza huamini timu yako ni mbovuuuu haijashiriki mashindano hayo kwa miaka kdhaa na hata ikiingia inatolewa round ya kwanza..Leo Simba walimiliki mchezo sema upepo haukua kwao
Hebu leta possession au uliangalia kwenye redio?

Eeeh gooooal Barbra anasawazisha goli hapa.
 
Leo usingizi mwanana.
Huku ASEC
Huku PUTIN

Ila Manula fala sana. Ilikuwa KHAMSA leo.
 
I feel your pain Pole kolo wa kike.
Yesss najivunia kuwa mshabiki wa Simba. Ila ww utakua una matatizo huwezi kuwepo humu jukwaani just to prove kwamba simba wamefeli as if unalipwa ok let say unalipwa sasa hamuoni kama mnachekesha kwa sbb in reality Simba ni kubwaa simba inafanya vzr simba imeongoza kundi yani ni leo tuu imedrop hilo nyie utopolo aka ndala aka vyuraa aka ngo'mbe hamuoni hilo. Yani watu tupo nafasi ya pili kwny kundi ww huku unaharisha kama yule ngo'mbe wenu. Hahahhahhah pole sana kwako msaga sumu.
 
FB_IMG_1647801910796.jpg

Ila mikia mtafuzu
 
Yesss najivunia kuwa mshabiki wa Simba. Ila ww utakua una matatizo huwezi kuwepo humu jukwaani just to prove kwamba simba wamefeli as if unalipwa ok let say unalipwa sasa hamuoni kama mnachekesha kwa sbb in reality Simba ni kubwaa simba inafanya vzr simba imeongoza kundi yani ni leo tuu imedrop hilo nyie utopolo aka ndala aka vyuraa aka ngo'mbe hamuoni hilo. Yani watu tupo nafasi ya pili kwny kundi ww huku unaharisha kama yule ngo'mbe wenu. Hahahhahhah pole sana kwako msaga sumu.
Maelezo mengi pumba tupu
Gooooooal kibudenga anatupa goli la nne la ushindi hapa..

Angalau basi ufurahi kidogo eeh 😀
 
Yesss najivunia kuwa mshabiki wa Simba. Ila ww utakua una matatizo huwezi kuwepo humu jukwaani just to prove kwamba simba wamefeli as if unalipwa ok let say unalipwa sasa hamuoni kama mnachekesha kwa sbb in reality Simba ni kubwaa simba inafanya vzr simba imeongoza kundi yani ni leo tuu imedrop hilo nyie utopolo aka ndala aka vyuraa aka ngo'mbe hamuoni hilo. Yani watu tupo nafasi ya pili kwny kundi ww huku unaharisha kama yule ngo'mbe wenu. Hahahhahhah pole sana kwako msaga sumu.
Nafasi ya pili?
Hebu weka msimamo hapa.

Huku ndio kuchanganyikiwa kwenyewe maskini kolo wewe jamani😀
 
Yesss najivunia kuwa mshabiki wa Simba. Ila ww utakua una matatizo huwezi kuwepo humu jukwaani just to prove kwamba simba wamefeli as if unalipwa ok let say unalipwa sasa hamuoni kama mnachekesha kwa sbb in reality Simba ni kubwaa simba inafanya vzr simba imeongoza kundi yani ni leo tuu imedrop hilo nyie utopolo aka ndala aka vyuraa aka ngo'mbe hamuoni hilo. Yani watu tupo nafasi ya pili kwny kundi ww huku unaharisha kama yule ngo'mbe wenu. Hahahhahhah pole sana kwako msaga sumu.
Wewe utakuwa mwajuma ndala ndefu...yaani mwanamke gani usiye na sitaha au moto wa kwa mpalange ndo unakuchamganya hapo ulipo mwananyamala kwa wahaya.....?
 
Wote mnaoshadadia Simba kafungwa goli 3 away ni mazwazwa sana, kwani sisi hatukuwafunga goli 3 taifa??? Kwahyo sisi kufungwa 3 away ndio habari?? Mbona tulipowapiga 3 hapa taifa mlisema ni wabovu??
 
Back
Top Bottom