FT: ASEC Mimosas 3-0 Simba SC | CAF Confederation Cup | Stade de L' amitie General

FT: ASEC Mimosas 3-0 Simba SC | CAF Confederation Cup | Stade de L' amitie General

Mechi za mwisho Simba na Berkane wakiwa nyumbani watashinda mechi zao na kusonga mbele ( Kila mtu ashinde kwao )

View attachment 2158427
Heee
Screenshot_2022-03-20-17-02-09-892_org.mozilla.firefox.jpg
 
Tatizo kubwa kabisa la Simba ni kocha lakini pia timu haina pre-match analyst mzuri. Kocha haeleweki na hayuko consistent kwenye vikosi vyake. Kocha pia hajui kuwapanga wachezaji wake wanapokuwa na mpira na wasipokuwa na mpira. In short sijajua huwa anawafundisha nini? Asec tuliwafunga Taifa, lakini hakuna ubishi jamaa wanajua na wanaonekana wanafundishwa. Pia nna wasiwasi kama Simba Wana mtaalam mzuri wa saikolojia.
 
Tatizo kubwa kabisa la Simba ni kocha lakini pia timu haina pre-match analyst mzuri. Kocha haeleweki na hayuko consistent kwenye vikosi vyake. Kocha pia hajui kuwapanga wachezaji wake wanapokuwa na mpira na wasipokuwa na mpira. In short sijajua huwa anawafundisha nini? Asec tuliwafunga Taifa, lakini hakuna ubishi jamaa wanajua na wanaonekana wanafundishwa. Pia nna wasiwasi kama Simba Wana mtaalam mzuri wa saikolojia.
Timu dhaifu. Makocha washapita wengi lakini ugenini matokeo ni yaleyale
 
Tatizo kubwa kabisa la Simba ni kocha lakini pia timu haina pre-match analyst mzuri. Kocha haeleweki na hayuko consistent kwenye vikosi vyake. Kocha pia hajui kuwapanga wachezaji wake wanapokuwa na mpira na wasipokuwa na mpira. In short sijajua huwa anawafundisha nini? Asec tuliwafunga Taifa, lakini hakuna ubishi jamaa wanajua na wanaonekana wanafundishwa. Pia nna wasiwasi kama Simba Wana mtaalam mzuri wa saikolojia.
Kesho tukishinda utakuja na kauli mpya!! Tukubali Leo tumewezwa basi.
 
Back
Top Bottom