Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Ulijidai wewe mbabe sana, aibu imekupata.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HeeeMechi za mwisho Simba na Berkane wakiwa nyumbani watashinda mechi zao na kusonga mbele ( Kila mtu ashinde kwao )
View attachment 2158427
Naona umeamua ujipe moyo kwa kuiingiza yanga...Kila mtu ashinde mechi zakeSimba inacheza mpira mbovu wa kiwango cha chini kama Yanga
Yamerudi mangapi....Tatizo Manula huwa mkimya na mpole sana, hasemi kwa ukali na mabeki wake
Kweli ? Au utaniUs Gendemarie 2-1 Berkane
Hizo mechi za mwisho itakuwa poa sanaMechi za mwisho Simba na Berkane wakiwa nyumbani watashinda mechi zao na kusonga mbele ( Kila mtu ashinde kwao )
View attachment 2158427
Tuna ya zungumzia ya leo, kaka halafu kwanza umeiona namba ya simu ya kocha Pablo ZBC2 wameipitisha au tulia hapo hapo wataipitisha tena kocha anaomba mumsaidie kufanya sub tuma meseji yako.Utopolo mmenyanyua Midomo, Mmesahau mara hii mlipigwa nje ndani na Rivers...!
Ooh Kumbeee..! [emoji23]Hapana bhana! Sisi tulimaanisha Simba Queens! [emoji3062] Na siyo hawa wazee wetu akina Kagere, Bocco, Wawa na Onyango.
Amekusikia ..vipi ngapi ngapi hukoToa Kibu na Bwalya...
Ingiza Morrison na Banda...
Japo haitakua mechi rahisi...tutapambana kushinda.Mechi za mwisho Simba na Berkane wakiwa nyumbani watashinda mechi zao na kusonga mbele ( Kila mtu ashinde kwao )
View attachment 2158427
Kwahiyo ulienda kutimiza tu ratiba huko Benin?Utopolo huwezi kuelewa. Kila mmoja anashinda kwake ni hicho tu utopolo.
Mpira um3isha????Us Gendemarie 2-1 Berkane
Timu dhaifu. Makocha washapita wengi lakini ugenini matokeo ni yaleyaleTatizo kubwa kabisa la Simba ni kocha lakini pia timu haina pre-match analyst mzuri. Kocha haeleweki na hayuko consistent kwenye vikosi vyake. Kocha pia hajui kuwapanga wachezaji wake wanapokuwa na mpira na wasipokuwa na mpira. In short sijajua huwa anawafundisha nini? Asec tuliwafunga Taifa, lakini hakuna ubishi jamaa wanajua na wanaonekana wanafundishwa. Pia nna wasiwasi kama Simba Wana mtaalam mzuri wa saikolojia.
Kama wale waliochezesha hapa kwa Mkapa, mkuu.Na CAF wasipokuwa makini kuna matokeo yatapangwa kupitia marefarii
Kesho tukishinda utakuja na kauli mpya!! Tukubali Leo tumewezwa basi.Tatizo kubwa kabisa la Simba ni kocha lakini pia timu haina pre-match analyst mzuri. Kocha haeleweki na hayuko consistent kwenye vikosi vyake. Kocha pia hajui kuwapanga wachezaji wake wanapokuwa na mpira na wasipokuwa na mpira. In short sijajua huwa anawafundisha nini? Asec tuliwafunga Taifa, lakini hakuna ubishi jamaa wanajua na wanaonekana wanafundishwa. Pia nna wasiwasi kama Simba Wana mtaalam mzuri wa saikolojia.
Hebu kakune nazi hukoWazee wa kimataifa kutwa kupiga kelele za kufika fainali