Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KakosaPenati
Tulieni hvyohvyo penaaatt'cha nne hchoo[emoji196][emoji196]wapo wengi humu utasema wanacheza wao
Mechi ya Berkene yenyewe ilikuwa Rozi Mhando, goal la off side huku Berkene wakinyimwa penalty ya wazi.Yaani nyie Mashabiki wa Simba muache unafiki,match ya Berkane mlivyoshinda mkatamba hii ndio timu sasa,leo mnageuza maneno.
Zaidi ya Moja ni nyingi au kwako nyingi ni ngapiNyingi ngapi
[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]Simba inamtia mtu goli 4 na hapo ndipo CAF itabidi ifanye kikao kifupi kujadili maajabu hayo ikiwezekana mashindano yasitishwe na ubingwa apewe mnyama
Mpite kwenda wapi?Ila kwa uchezaji huu tukipita makundi robo hatutoboi.