ummumuhammad
JF-Expert Member
- Sep 8, 2014
- 796
- 697
Dah,hili kundi litaamuliwa na goal differencesBerkane nae kachomoaa...
It's 2-2
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah,hili kundi litaamuliwa na goal differencesBerkane nae kachomoaa...
It's 2-2
Biashara imeisha, Berkane na Simba to quarter final , hawa Asec pamoja na kujitutumua ni wasindikizaji wa kundi.Berkane nae kachomoaa...
It's 2-2
Ya kwenu pamoja na kubebwa mlilipa heshima gani Taifa?Hii timu inaliabisha Taifa aisee! Hakuna timu hapa! Yaani Manula bora akajiunga tu Yanga msimu ujao, ili aondokane na haya mateso kutoka kwa mabeki wake wazee.
Hilo jamaa huwaga puga...!!Pombe mbaya wajameni hata wewe unakunywa gongo?
...👊👊👊Biashara imeisha, Berkane na Simba to quarter final , hawa Asec pamoja na kujitutumua ni wasindikizaji wa kundi.
Litaamuliwa na points, Berkane 10pts, simba 10pts, asec 9pts, usg 5pts, imeisha hiyo.Dah,hili kundi litaamuliwa na goal differences
Lakini haijafikia Mwiko ulioshindiliwa nyuma!Na imeshindiliwa kweli-kweli
3/4/2022Hii ndio maana ya kimataifa mechi ya kwa mkapa lini wadau
Ukweli mchungu mtani,huo ujinga hata Yanga upoUongozi unacheza na mashabiki wakiona wanalalamika sana basi wachezaji watapewa motisha watacheza vzr mechi kadhaa watashinda mashabiki watatulia na mashabiki tumetifautiana kuna wale wenye mahaba yan hawataki baya waambiwe kwenye timu hata kama kuna shida kwa mimi SSC hata kama kipindi kile inashinda sikuwa na ile amani 100% kwa sababu hawajatibu tatizo SSC inahitaji maboresho makubwa sana kuna wachezaji wengi wanatakiwa wasepe pale hata kama wakicheza vzr mechi mbili tatu wanatakiwa watoke waje wapya wenye uwezo tuachane na haya mambo ya viongozi kucheza na akili za mashabiki kama kweli wanataka mafanikio kikosi lazima kifumuliwe
Huyu asec yupo vizuri anaweza kumkalisha berkane kwao .Litaamuliwa na points, Berkane 10pts, simba 10pts, asec 9pts, usg 5pts, imeisha hiyo.
Manula kwakweli leo kasave sana.Katupunguzia sana kipigo.Kuna mtu ana swali kwa Manula?
Sheikh Yahaya tangu afe mpaka leo hajapata mrithiYale yaliyomkuta Simba Club bingwa naona yakijirudia pale kwa Mkapa.
...👊👊👊Litaamuliwa na points, Berkane 10pts, simba 10pts, asec 9pts, usg 5pts, imeisha hiyo.
Loooaaalii insteadROOOAAAAR
Mmh!
Wakati hui USGN nao wanakuja kutafuta point tatu kwa udi na uvumba ili wawe na point 8 ili kusubiria kama Berkane watafungwaBiashara imeisha, Berkane na Simba to quarter final , hawa Asec pamoja na kujitutumua ni wasindikizaji wa kundi.