Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Jumlisha na zile penalty mbili halafu wao huku tatu kwa goli walipataKwani cha ajabu nini hapo ikiwa nao huku walisha kalia vitatu?
Simba 0
Wao 3+ 2 penalties
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jumlisha na zile penalty mbili halafu wao huku tatu kwa goli walipataKwani cha ajabu nini hapo ikiwa nao huku walisha kalia vitatu?
Kwa lipi sasa?Kwani ukitoa credit kwa Air Manula itakuaje?
kundi kila timu inachance laknYes. wenye nafasi kubwa ya kupita ni simba na Berkane
Sawa mkuu lakini usichukue muda mrefuKazi zimekuwa nyingi sana, mkuu. Kuna project naifanyia kazi hivi sasa. Nikipata wasaa, ntachungulia.
Hapo mkuu tunapita basi, kitakachotokea huku nyumbani siyo Kama Cha kina gwanang Galaxy,kwa njia yyte ile tutashinda,hata kwa upande mwingne...Mbili Simba ikiwemo
Muda mwengine haifai kunywa pombe zilizoharibika sawa usirudie tena?Tunapita na tutafika huko unapopaotaga na hujawahi hata kupanusa.
Lakini yenyewe ndio team iliyobuguzwa magoli mengi na inakaribia kushika mkia.Simba hawezi fanana na timu ya wachunga ngo'mbe wenye safura
Unaandika huku unatetemeka.Muda mwengine haifai kunywa pombe zilizoharibika sawa usirudie tena?
Naelewa maumivu unayopitia Pole sana utapona mwaka 2050 mtaenda tena.Bado ramani za kimataifa zinasoma Simba simba wawakilishi pekee east and central Africa
Na wewe lini umenusa hata hayo makundi ?Lakini yenyewe ndio team iliyobuguzwa magoli mengi na inakaribia kushika mkia.
Naelewa maumivu unayopitia utapona tu vitatu sio vingi 😀😀Unaandika huku unatetemeka.
Kushika mkia upi wa ngo'mbe wenu? Si tutaungo'a ? Nyie tulieni mtajua hamjuiLakini yenyewe ndio team iliyobuguzwa magoli mengi na inakaribia kushika mkia.
Hata mwandiko wako unaonyesha jinsi unavyotesekaNaelewa maumivu unayopitia utapona tu vitatu sio vingi 😀😀
Sio vingi ndio haiumi kwa sbb na sisi kwetu tulizichukua point zote tatuNaelewa maumivu unayopitia utapona tu vitatu sio vingi 😀😀
Kumbe shida ilikuwa kunusa then kufungasha Virago mrudi nyumbani?Na wewe lini umenusa hata hayo makundi ?
I feel your pain Pole kolo wa kike.Sio vingi ndio haiumi kwa sbb na sisi kwetu.tizichukua pointa zote tatu