Ila Yanga ina kikosi kipana aisee! Ingekuwa ndiyo timu nyingine, isingejaribu kumuacha nje mchezaji kama Fiston Kalala Mayele.Karibu tena upate burudani ya soka tamu kutoka kwa Wananchi..
Ni robo fainali ya Azam federation cup baina ya Machampioni watetezi Yanga dhidi ya Geita Gold kutoka mkoani Geita.
Mchezo huu utapigwa katika Dimba la Azam huko Chamazi na utaanza majira ya saa 2.00 usiku.
Je nani kuibuka mbabe? Majibu yatapatikana baada ya dakika 90.View attachment 2581286View attachment 2581289
Na hii ndio inayowafanya wale ndugu zetu kupeleka barua ya maombi TFF waahirishe mechi[emoji23][emoji23]Ila Yanga ina kikosi kipana aisee! Ingekuwa ndiyo timu nyingine, isingejaribu kumuacha nje mchezaji kama Fiston Kalala Mayele.
Yanga hii ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]Ndani ntiti nje ntiti,Leo tutaangalia mpira sio ule wa jana kocha wa ihefu kupanga kikosi b
Nadhani tumpe heshima mzalendo Clement. Ni direct na siyo mbinafsi kama Mayele.Ila Yanga ina kikosi kipana aisee! Ingekuwa ndiyo timu nyingine, isingejaribu kumuacha nje mchezaji kama Fiston Kalala Mayele.
Mkuu Simba ndio anatembelea nyota ya YangaUkitaka uthibitisho kuwa Yanga amekuwa anatembelea nyota ya Simba, angalia game hii ya leo.
Kuangalia mpira wa Yanga ni kutafuta udumavu tu wa akili
Ndugu yangu Yanga haiwezi kutembelea nuksiUkitaka uthibitisho kuwa Yanga amekuwa anatembelea nyota ya Simba, angalia game hii ya leo.