FT: ASFC | Yanga S.C 1-0 Geita Gold F.C | Chamazi Complex Stadium | 08.04.2023

FT: ASFC | Yanga S.C 1-0 Geita Gold F.C | Chamazi Complex Stadium | 08.04.2023

Karibu tena upate burudani ya soka tamu kutoka kwa Wananchi..
Ni robo fainali ya Azam federation cup baina ya Machampioni watetezi Yanga dhidi ya Geita Gold kutoka mkoani Geita.

Mchezo huu utapigwa katika Dimba la Azam huko Chamazi na utaanza majira ya saa 2.00 usiku.

Je nani kuibuka mbabe? Majibu yatapatikana baada ya dakika 90.View attachment 2581286View attachment 2581289
Ila Yanga ina kikosi kipana aisee! Ingekuwa ndiyo timu nyingine, isingejaribu kumuacha nje mchezaji kama Fiston Kalala Mayele.
 
Ukitaka uthibitisho kuwa Yanga amekuwa anatembelea nyota ya Simba, angalia game hii ya leo.
 
Huyu Mzize hana tofauti na wale waliomkana Kristo jana kwa woga au kwa vipande vya fedha. Atajua hajui.
 
Back
Top Bottom