FT: ASFC | Yanga S.C 1-0 Geita Gold F.C | Chamazi Complex Stadium | 08.04.2023

Hii team wasijisahaulishe kitu iko nacho ni kocha ukiondoa Nabi hapo team lazima ifanye utumbo Kaze ni ziada
Viongozi wao ndio kabisa wako hapo sababu ya GSM nje ya hapo ni hawana sifa yoyote kuongoza yanga
Yanga kiwango kimeshuka mno, hii siyo siri. Ni ngumu kuwafunga lakini ni ngumu pia kupata ushindi.
 
Mtatamani kwanini msingetolewa na geita katika hatua hii..subirini mje kuingia kwenye mfumo wa Robertinho muone kama mama hamjaitamka ng'ang'a
Halafu siku mkifungwa, mnaanza kupiga kelele za kumktaa Robertinho, na kumtaka Mgunda na Matola!!
 
Tumeshinda ila tumeonesha kiwango duni sana, hakukuwa na fighting Spirit kabisa, yaani wachezaji walikuwa wanacheza alimradi muda uishe., Sijui benchi la ufundi waliidharau mechi?
Anyway ngoja tuone iyo jumaane dhidi ya kagera sugar timu itacheza vipi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…