FT: ASFC | Yanga S.C 1-0 Geita Gold F.C | Chamazi Complex Stadium | 08.04.2023

FT: ASFC | Yanga S.C 1-0 Geita Gold F.C | Chamazi Complex Stadium | 08.04.2023

Tumeshinda ila tumeonesha kiwango duni sana, hakukuwa na fighting Spirit kabisa, yaani wachezaji walikuwa wanacheza alimradi muda uishe., Sijui benchi la ufundi waliidharau mechi?
Anyway ngoja tuone iyo jumaane dhidi ya kagera sugar timu itacheza vipi
ratiba ngumu comrade wachezaji wanahitaji kupumzisha miili
 
Kama hukuwepo leo umekuja kuchungulia namna khamsa inavyoandaliwa?
Niko kwenye maandalizi ya mwisho mwisho ya Easter mtani. Siwezi jificha Yanga nawaaminia, huwa hawatuangushi na tumeshawaombea. Wanafanya maajabu tu.
 
Niko kwenye maandalizi ya mwisho mwisho ya Easter mtani. Siwezi jificha Yanga nawaaminia, huwa hawatuangushi na tumeshawaombea. Wanafanya maajabu tu.
Mkazane. Kuroga kufunga na kusali naona yale ya may 21 -2012 yanawezajirudia
 
Back
Top Bottom