Azam ataambulia sare.Azam anapaswa akomae maana KAGERA wanaweza kumbania
Pengine ndio wanatekeleza yale yaliyokuwa yanasemwa kwamba Azam aiachie Simba waende klabu bingwa.Azam mnazingua kazeni viuno.
kama washakula mshiko mrefuuu jePengine ndio wanatekeleza yale yaliyokuwa yanasemwa kwamba Azam aiachie Simba waende klabu bingwa.