joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Nia yetu kuna wapuuzi wacheze shirikisho, kiatu hata akichukua fuleshi, ila Kolo FC akacheze shirikisho.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣 hakwepi aseeAcha tukose kiatu ila cha muhimu Simba wakacheze kombe la shirikisho na wao. Walitoa maneno ya shombo sana eti Yanga inacheza kombe la loser.
Watu wa jangwani hamueleweki mpo upande gani 😂 mara huku mara kuleNia yetu kuna wapuuzi wacheze shirikisho, kiatu hata akichukua fuleshi, ila Kolo FC akacheze shirikisho.
mpaka tuhakikishe mtu anaenda looserWatu wa jangwani hamueleweki mpo upande gani 😂 mara huku mara kule
KbsaaaaNia yetu kuna wapuuzi wacheze shirikisho, kiatu hata akichukua fuleshi, ila Kolo FC akacheze shirikisho.
Nipo Azam kwa mkopo mpaka ligi itakapo isha, kuna watu tunataka msimu ujao tuwakele mwanzo mwisho.Watu wa jangwani hamueleweki mpo upande gani 😂 mara huku mara kule
Ni rasmi sasa msimu ujao wana msimbazi tukutane shirikishoNipo Azam kwa mkopo mpaka ligi itakapo isha, kuna watu tunataka msimu ujao tuwakele mwanzo mwisho.
FeisalGoli la tano kafunga nani
both wanatumia hela . Simba goal was match fixing kabisa . Azam second half katoa pesa . Hatari sanaAzam na yeye kaanza fitna za karakoram hii mechi kuna chochote kitu haiwezekani azam kushinda goli tano.
Kwani Coastal union alifungwa ngapi na Azam kwenye FA? Coastal na Kagera ni timu ipi bora? Au kwavile kaivimbia Simba na Yanga ndio umewaona Kagera ni wazuri? Hata mechi ya Dar dhidi ya Yanga, Kagera alikuwa anafungwa magoli mengi tu sema offside za kimakosa zilikuwa nyingiAzam na yeye kaanza fitna za karakoram hii mechi kuna chochote kitu haiwezekani azam kushinda goli tano.
2 goalsKwenye mechi hii Fei toto kafunga magoli mangapi?
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Watu muu wanafikiPengine ndio wanatekeleza yale yaliyokuwa yanasemwa kwamba Azam aiachie Simba waende klabu bingwa.
Hawajawahi kujitambuaWatu wa jangwani hamueleweki mpo upande gani 😂 mara huku mara kule
Sio mbayaAIseee Simba anakuwa wa tatu hivi hivi.